Translations:Forgiving Step by Step/24/sw

Mungu ndiye hakimu kamili kwa hivyo tuna haki ya kupeleka kila madai ya udhalimu mbele zake. Tujue kwa uhakika yakwamba atatupa haki na kila kitu pia – hilo si jukumu letu. Sio kazi yetu kulipiza kisasi kwa wenzetu.