Translations:Forgiving Step by Step/25/sw
Kama vile tunapeleka malalamiko kwa hakimu duniani, tunaweza pelekea Mungu maumivu yetu. Hatufai kuwa na wasiwasi kwamba tutamkasirisha Mungu na mahitaji yetu, tunaweza kuwa wakweli mbele ya Mungu. Baada ya kumaliza hızı hatua tunaweza achilia aliyekosa na kuacha kuhukumu.